Home > Terms > Swahili (SW) > Ijumaa kuu

Ijumaa kuu

jina iliyopewa Ijumaa kabla ya Jumapili ya Pasaka, ambayo huadhimisha kusulubiwa kwa Yesu Kristo na kifo chake katika Golgotha. Inaelezwa kama 'Kuu' na Wakristo, kwani bila kusulubiwa hakungekuwa na ufufuo ya kuonyesha jinsi Mungu alishinda dhambi na mauti yenyewe.

Nyeusi (rangi ya huzuni na kilio) ni agizo kwa Ijumaa. Huduma makini inafanyika katika makanisa kama kumbukumbu ya matukio ya kusikitisha ya Ijumaa Kuu ya kwanza.

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Festivals
  • Category: Easter
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ogongo3
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 3

    Followers

Industry/Domain: People Category: Sportspeople

Floyd Mayweather (almasi, Watu, wanaspoti)

Kuzaliwa Floyd Sinclair juu ya Februari 24, 1977, Marekani mtaalamu wa ndondi. Yeye ni tano-mgawanyiko bingwa wa dunia, ambapo alishinda vyeo dunia ...

Featured blossaries

Top 5 TV series of 2014

Category: Entertainment   1 4 Terms

Land of Smiles

Category: Travel   1 10 Terms

Browers Terms By Category